Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama samia Suluhu Hassan akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kamaha mkoani Shinyanga.
Kada wa CCM ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Makonda, akihutubia wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kahama mkoani Shinyanga leo
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni za CCM Kitaifa Chrisopher Ole Sendeka akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kahama mkoani Shinyanga.
Wananchi wakiwa na bango kumfikishia ujumbe, Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,Mama Samia Suluhu Hassan wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Nyang'wale mkoani Geita
Mgombea ubunge jimbo la Nyang'wale Hussein Amar akiomba kura wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo mkoani Geita
Mkuu wa mkoa wa Geita Fatma Mwasa (kulia) akijadiliana jambo na wajumbe wa kamati ya kampeni za CCM kitaofa, Angela Kizigha na Christopher Ole Sendeka katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Nyag'wale katika mkoa huo leo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Nyang'wale mkoani Geita. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO
Wasanii wa kundi la kampeni la Ninesttuka, wakishambulia jukwaa kuhamasisha wananchi wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Kamaha mkoani Shinyanga