'Sijapenda
kuweka wazi sana swala la mahusiano kwasababu inatakiwa mimi niweze
kuwa na uhakika kwamba huyu ambaye namtambulisha kwa wananchi ni kweli
wakati umefika, kwasababu leo unaweza ukawatambulisha huyu baada ya siku
tatu mambo hayaeleweki ukatambulisha mwingine, kwahiyo mwisho wa siku
utaonekana kijana unatumia nafasi yako kuweza kuchezea watoto wa kike,
kwahiyo najaribu kuwa makini kwa hilo lakini kipindi kitakapofika watu
wataweza kufahamu kama Ommy ‘bae’ wake ni yupi' alimaliza
0 Comments