Hatimaye
mastaa wa Nigeria Davido na Wizkid wamethibitisha hadharani kuwa sasa
hali ni shwari kati yao, baada ya kukutana uso kwa uso na kuonesheana
upendo kwa kukumbatiana huku kila mmoja akionesha kufurahia kukutana
kwao.
Wizkid
na Davido wamekutana weekend iliyopita katika Escape night club huko
Ilorin, Nigeria ambapo walikula bata pamoja katika club hiyo.