Hizi ni baadhi ya picha zilizopigwa
wakati wa utengenezaji wa Movie mpya itakayojumuisha mastaa kadhaa
wakiwemo, Yusuph Mlela na Asha Boko.
Jina la Movie na itatoka lini? Bado havijawekwa wazi.
Kwauzoefu wako na uelewa wako unadhani
movie hii itakuwa ni ya namna gani? Mlela na Asha Boko wamecheza kwenye
movie hii wakiwa na mahusiano ya namna gani?