Ticker

10/recent/ticker-posts

ANGALIA MASTAA WA BONGO WALIOONGOZA KUVAA NGUO ZISIZO NA MAADILI KWENYE BIRTHDAY YA DIAMOND



Ikiwa ni masaa kadhaa tu baada ya msanii Diamond Platnumz kusherekea siku yake ya kuzaliwa akifikisha umri wa miaka 25 toka azaliwa mpaka sasa,lakini siku ya jana ilikuwa kufuru kwa baadhi ya mstaa kama Wema Sepetu pamoja na wengine kwa kuvaa ngup zenye kuonyesha mapaja yao, nimekukusanyia hapa picha zote za mastaa hao akiwamo Hit maker wa single ya Hawajui Vanessa Mdee hizi hapa 




.





.

.

Post a Comment

0 Comments