Ndugu Emmanuel Nchimbi ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM).
Nchimbi anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Ndugu Daniel Chongolo ambaye alijiuzulu.
Timu nzima ya Masama Blog inampa Pongezi na Kumuahidi Ushirikiano wa Hali na Mali Mhe.Balozi Emmanuel Nchimbi katika majukumu yake haya mapya.
KAZI IENDELEE
0 Comments