Ujumbe huo unadhamira ya kuwekeza katika Sekta mbalimbali zikiwemo ikiwemo miundombinu, fursa za masomo na Ushirikiano wa kujengeana uwezo katika kukuza Jiji la Dodoma
Aidha, ujumbe huo umeongozwa na Bw.Douglas Foo, Balozi wa Tanzania nchini Singapore na Bi. LEE Zhu'ai Sian, Mkurugenzi Msaidizi, Wizara ya Mambo ya Nje Singapore.
0 Comments