Ticker

10/recent/ticker-posts

KUMBILAMOTO ATEMBELEA UKARABATI MACHINJIO YA VINGUNGUTI

 Kaimu Meya wa Manispaa ya Ilala,Omary Kumbilamoto akimueleza Gavana wa Tarafa ya Ukonga namna ukarabati wa soko la Vingunguti unavyoendelea .
Kaimu meya Manispaa ya Ilala akionesha sehemu ambayo haijakarabatiwa na maji yanatuwama, hivyo kumtaka Wakandarasi wa eneo hilo kufanya haraka kukamilisha ujenzi.

Mafundi ujenzi wanaendelea na ukarabati katika Machinji ya Vingunguti ambapo kaimu Meya wa Manispaa ya Ilala na Diwani wa Vingunguti Omary Kumbilamoto alitembelea ujenzi huo kuangalia ni hatua gani imefikiwa
--


from MICHUZI BLOG http://bit.ly/2QcXZQN
via

Post a Comment

0 Comments