Ticker

10/recent/ticker-posts

Staa Lady Jay Dee Afunguka Mahaba yake Kwa Hamorapa...Adai Watu Wamuache Afanye Kazi

LadyJaydee amefunguka kuhusu #Harmorapa ambaye amekuwa akiteka vichwa vya habari kutokana na stori zake zikiwemo nyingi za kuvunja mbavu.

#Jaydee amekiambia kipindi cha FNL cha EATV kuwa haoni tatizo kwa rapper huyo chipukizi kwa kuwa kila msanii ana njia zake ambazo anatumia za kufikisha sanaa yake inapotakiwa kufika.

#Ladyjaydee👉 “Tumuache afanye yake, unajua kila mtu ni ambavyo anaweza kuiwakilisha sanaa yake, kwahiyo mimi naona yuko poa,” ..
.
.
#Jide ameongeza kuwa alifurahi sana baada ya kuona clip ya video ikimuonyesha #Harmorappa akitoka nduki baada ya mbunge wa Mtama, Nape Nnauye kuonyeshewa bastola Alhamisi hii.