Ticker

10/recent/ticker-posts

ONA HAPA DK MAGUFULI AKIKABIDHIWA HATI YA URAIS NA KUWASHUKURU WAKAZI WA DAR

Rais mteule Dkt John Pombe Magufuli akiwapungia wakazi wa Dar es Salaam alipokuwa akitoka katika ukumbi wa Diamond Jubilee. Picha na zote na Humphrey Shao

Msafara wa Rais Mteule John Pombe Magufuli kuelkea Lumumba katika ofisi ndogo za CCM Mkoa wa Dar es Salaam

Rais Jakaya Kikwete akisalaimiana na Rais Mteule John Pombe Magufuli

Rais Kikwete akihutubia mamia ya wakazi wa jijini Dar es Salaam waliofurika kwa Magufuli

wanachama wa CCM wakiwa wamekaa barabarani

Rais Mteule John Pombe Magufuli akihutubia wana CCM katika ofisi ndogo za mkoa wa Dar es Salaam

Spika wa Bunge Anna Makinda akiwa na Seif Khatibu wakifurahia jambo

Rais Mteule Dkt JohnMagufuli

Dkt John Magufuli akiwa na Makamu mteule Samia Suluhu wakionyesha cheti ch

Asha Baraka

Mwigulu Nchemba akiteta na Waziri mkuu

wanachama wakiwa na mabango barabarani