Ticker

10/recent/ticker-posts

DK MAGUFULI AZIDI KUCHANJA MBUGA MWANZA KATIKA MAJIMBO YA MAGU, SUMVE, KWIMBA NA MISUNGWI

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akihutubia katika mkutano wa kampeni mjini Misungwi, Mwanza jana, ambapo aliwaomba wananchi kumpigia kura za ndiyo katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka huu.
 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akihutubia huku akiwa amesimama juu ya gari katika mkutano wa kampeni mjini Ngudu , wilayani Kwimba,, Mwanza, ambapo aliwaomba wananchi kumpigia kura za ndiyo katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka huu. 

 Dk Magufuli akiwahutubia wananchi waliouzuia msafara wake eneo la Mabatini, jijini Mwanza asubuhi. PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Msfara wa Dk Magufuli ukiingia eneo la Buzuruga jijini Mwanza ukielekea Wilayani Magu kuendelea na kampeni.
 Dk Magufuli akiwaomba wananchi wa Igoma jijini Mwanza asubuhi leo kumpigia kura za ndiyo katika uchaguzi mkuu Oktoba 25 mwaka huu.
  Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akihutubia huku akiwa amesimama juu ya gari katika mkutano wa kampeni mjini Ngudu , wilayani Kwimba,, Mwanza, ambapo aliwaomba wananchi kumpigia kura za ndiyo katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, mwaka huu.
 Moja ya ujumbe uliokwepo katika mkutano wa kampeni  mjini Misungwi, Mwanza leo

 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, ambaye pia ni mratibu wa kampeni za Dk Magufuli, Abdallah Bulembo akiwananga wapinzani kwamba wasahau kabisa kwenda Ikulu, kwani Ikulu si mahali pa mchezo na itakuwa ni makosa makubwa kupeleka kiongozi Ikulu ambaye anafananishwa na Power Bank ya simu ambayo chaji yake ikiisha simu haichaji
 Mfano wa karatasi la kipigia kura la wagombea urais wa Tanzania Dk Magufuli na Makamu wake Samia Suluhu Hassan.