Ticker

10/recent/ticker-posts

MAPENZI:..NIMEMHARIBU MPENZI WANGU ILA YOTE KASABABISHA MWENYEWE

Kwa muda wa miezi 3 sasa nipo kwenye mahusiano na dada mmoja toka kule visiwa vya karafuu,ni mzuri ana sifa zote ila tatizo lake huja wakati wa faragha,toka nimekuwa nae kwenye game yeye ananipa kinyume na maumbile tu haijalishi nitapiga mara ngapi.

Kiukweli na mimi nimezoea ingawa namwonea sana huruma ila yeye anadai nisijali niendelee kufanya hivyo, sasa tatizo limekuja anadai nipeleke barua kwao, lakini kwa jinsi nilivyomfanya kinyume na maumbile napata mashaka kuwa nikishamuoa haitakuja kuwa aibu kwangu.Je kuna uwezekano wa kule back kwake kukarudi hali ya kawaida.

Ushauri wenu wakuu