AnAnaitwa Ms Fawwie kutoka Kenya, sijui ni 0.5 wa kutoka nchi gani. But
ninachojua mimi ni mtu anaejishughurisha na FASHION (makeup&fashion
guru Inventor of the phrase ).....Anajuana na mastaa wengi sana hapa
AFRIKA MASHARIKI (Kutokana na shughuri zake).......Mbali na kuwa mzuri
huyu mwanadada ana-CLASS ya juu sana...yaaani sijui
nisemaje......Nadhani ukicheki picha zake hizi utanielewa
aitwa Ms Fawwie kutoka Kenya, sijui ni 0.5 wa kutoka nchi gani. But
ninachojua mimi ni mtu anaejishughurisha na fashion (makeup&fashion
guru Inventor of the phrase ) Anajuana na mastaa wengi sana hapa
Afrika Mashariki kutokana na shughuri zake, mbali na kuwa mzuri
huyu mwanadada ana-class ya juu sana yaaani sijui
nisemaje.
Tazama picha zake hapa na utajua Ben Kinyaiya namaanisha nini.
0 Comments