Baada ya kufatilia kwa kina na kujiridhisha imegundulika kuwa Mhe.Silaa anatumia simu ya kawaida kabisa aina ya Techno ambazo kwa sasa watu wengi wanachkukulia kwamba ni simu za watu wa hadhi ya chini jambo ambalo Mhe.Silaa amepinga na kusema yeye ni mpenzi na muumini wa simu za bei ya kitanzania na kizalendo kwani yeye a naamini kikubwa ni mawasilano na siyo aina ya simu kitu ambacho wengi wamefurahishwa na kauli hiyo
Katika ibada hiyo pia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe .Samia Suluhu Hassan alimpigia simu Nabii Suguye kupitia simu ya Waziri Jerry Silaa na kumpongeza Nabii Suguye kwa Kazi ya Mungu anayoifanya,Pia waziri Silaa alitumia nafasi hiyo kuwaomba watanzania wamuombee Rais Samia kwa Kazi Kubwa anayoifanya kwa Taifa na watanzania kwa ujumla.
Hizi ndizo Njia 16 za Kuondoa Sumu Mbalimbali Mwilini...!!!
-
Mwili unaweza kupatwa na sumu au takataka zisizohitajika na mwili kwa namna
mbili, ama kupitia mazingira tunayoishi (viwanda, migodi nk) au kupitia
vy...
1 month ago
0 Comments