Hiyo ni baada ya Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2023-24 kufikia raundi ya tisa lakini Simba akiwa na kiporo kimoja mkononi, mechi dhidi ya Mashujaa FC.
Simba mpaka sasa, wapo kwenye nafasi ya tatu kwenye msimamo wakiwa na alama zao 19 nyuma ya Azam FC wenye alama 19 wakiwa juu kwa tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa huku nafasi ya kwanza ikishikiliwa na Yanga SC wenye alama 24