Ticker

10/recent/ticker-posts

KUMBUKUMBU YA DAFROSA SABINUS KWEKA



Dafrosa Sabinus Kweka
1970 - 1999

Ni miaka ishirini(20) sasa toka
umerudi kwa baba.

Ninapokosa maneno yako ya busara na
hekima, ucheshi na ujasiri.

Ninakukumbuka sana na kukuombea mimi
mtoto wako wa pekee Jesca, pia

unakumbukwa sana na mume wako
mpendwa, Ibrahim Msengi, kaka zako
Festo na Thade, dada zako Jane, Eugenia,
Elizabeth na Cesilia pamoja na Mjukuu
wako Dafrosa Michael Chenza.

“Msijisumbue kwa neno lolote, bali
katika kila neno kwa kusali na
kuomba pamoja na kushukuru,
haja zenu zijulikane na

Mungu.” Fil: 4:6



from MICHUZI BLOG https://ift.tt/32MGvAc
via

Post a Comment

0 Comments