Kupitia ukurasa wake wa kwenye mtandao wa Instagram Ashley Toto
alibandika picha ya moja ya blogu (hapo juu) iliyoandika stori hiyo na
kuandika maneno haya.
“Waandishi wa magazeti hamuna kazi za kufanya??? au ndio hizo za kuota na kuandika vitu vya …ushuzi ...... I have nothing to do with diamond ..........I have ma boyfriend so plz ...”
Nadhani ameeleweka.