Ticker

10/recent/ticker-posts

SOMA HII HABARI NJEMA KWA WAKAZI WA DODOMA NA TANZANIA YOTE HAPA

Kwa wakazi wa dodoma na viunga vyake jiji hilo linaanza kuonyesha matunda ya serikali kuhamia dodoma kwani tayari kuna maeneo mapya mengi yanayoonyesha dhahiri kuunga mkono serikali ya awamu ya Sita chini ya Mhe Rais Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha jiji la dodoma linakua na kujengeka kwa kiwango cha makao makuu ya nchi.

Moja ya eneo zuri la kutembelea uwapo jijini dodoma ni MALAIKA VILLAGE lililopo barabara kuu ya dodoma - morogoro wilaya ya Chamwino Chinangali II mkabala na makao makuu ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)  ambapo katika eneo hilo utapata Huduma zifuatazo;

  • Michezo ya watoto mfano Bembea na Swimming Pool ya Watoto.
  • Swimming Pool kwa ajili ya watu wazima
  • Sauna na SPA ya kiwango cha hali ya juu
  • Massage nzuri ya kukuondolea uchovu wa Mwili
  • Huduma za Malazi kwa ajili ya Mtu mmoja mmoja au Familia/Maharusi
  • Huduma ya Supermarket.
  • Huduma ya Ukumbi maalum kwa vikao vya Kikazi au Kijamii nk.
  • Vyakula ya aina zote kuanzania Nyama Choma,Nyama Pori nk
  • Supu na Michemsho ya aina zote
  • Viwanja  vizuri  maalum kwa ajili ya kupiga Picha za Shuguli mbalimbali.   
  • TV Screen  nyingi kwa ajili ya kuangalia mpira mechi za ligi mbalimbali duniani  bure.
  • Live Band Kila Ijumaa na Speacial Appearance artists nk.
  • Happy Hour Kila wiki ikiwa na ofa mbalimbali za Vinywaji,Chakula nk.


Akiongea na mwandishi wetu meneja wa Hoteli Hiyo ambayo kwa sasa ndiyo inaongoza kwa kutembelewa na watu wapya jijini humo amesema anaendela kuwakarabisha wadau mbalimbali wa Burudani na wanaohitaji eneo zuri tulivu kwa ajili ya kufurahi wao,marafiki na hata na familia zao kuwa kwa sasa eneo ni Moja tu MALAIKA VILLAGE.

Kwa maulizo ya huduma mbalimbali na unaweza kuweka oda kwa kuwapigia 

Malaika Village kwa Namba +255 746 727662

KARIBUNI SAANA MALLAIKA VILLAGE DODOMA

Post a Comment

0 Comments