Ticker

10/recent/ticker-posts

Msanii Steve Nyerere Awashukia Wachungaji FEKI "Mnacheza na Hisia za Watu Ninyi"

 

Mstafuuu ✍️ ✍️ ✍️ ✍️ ✍️ Ifike mahara Tuheshimu Dini zetu, Matamko kama haya yana athari kubwa sana kwenye Jamii, Tunaweza kuona leo ni vichekesho lakini kadri siku zinavo kwenda kizazi chetu ambacho ni kizazi cha kuombewa sana nadhani kitaathirika na hizi kauli.,.,

Najiuliza why kila mtu anataka kuwa Pastor.,

Ni kweli ukijua kuongea sana basi unaona unaweza kuwa Pastor.,

Siku hadi siku wachungaji wanamiminika najiuliza



ivi imekuwa ni biashara, Na kama biashara wanadhani kufanya mzaha na hisia za watu wanaomtafuta Mungu kwa gharama yoyote wanawatendea haki.,.,


Najiuliza mbona wenzetu Islam hawana utoto huuu.,.

Wanaheshimu Dini yao, Nani anaweza kutoka kwenye Islam akaongea kama hivi kwa nini sisi kila siku ndio tunaandaa trend za kucheza na kumtania Mungu wetu.,.,


Hili ni tatizo kubwa sio la kufumbia macho.,.


Wenzetu Kenya 🇰🇪 wameanza kufungia wachungaji feki wapotoshaji mpaka upate Leseni ndio unaweza kuendelea kutoa Upako, Lakini sio upako huu wa kutrend.,.


NAKAAAA. NAWAZA NAANGALIA HAYA KUANZIA KWA WENZETU MATAIFA MAKUBWA KUANZA KUKUBALI NDOA JINSIA 1,.

Sio sawa tuheshimu dini zetu ,Matamko ya sinema sio mazuri sana kwenye hisia za watu''

Post a Comment

0 Comments