Nasema hivyo kwa sababu jambo kama hilo liliwahi kunitokea katika maisha yangu, mume wangu alinipoteza kisa tu kukosa uvumilivu katika ndoa yetu, na sasa anajutia na kunisumbua turudiane wakati mimi tayari nina mtu mwingine.
Jina langu ni Mama Lulu, miaka kama saba iliyopita niliolewa na mwanaume ambaye nilimpenda na yeye alionyesha kunipenda sana ingwa kadiri miaka ilivyokuwa inasonga katika mapenzi ya ndoa yetu, ndivyo na upendo ulivyokuwa unaenda ukipungua.
Sababu kubwa ilikuwa ni mimi kuchelewa kubeba ujauzito, tulikukaa kwa zaidi ya miaka mitatu bila kubeba ujauzito, jambo hilo lilifanya mume wangu kuanza ....
0 Comments