Habari Picha: Mbunge wa Hai Mhe. Saashisha Mafuwe hivi karibuni akikata utepe katika zoezi la kukabidhi pikipiki 34 kwa wawendesha bodaboda iliyofanyika mji wa Bomang'ombe zilipo ofisi ya Halmashauri ya wilaya ya Hai ikiwa ni moja ya uwezeshaji vijana hao kutoka serikalini ambapo katika makabidhiano hayo wanaoshuhudia ni Mkuu wa wilaya ya Hai Mhe.Juma Irando,Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Hai Ndugu Wanguba Magai,Mwenyekii wa halmashauri ya Hai Mhe.Edmund Rutahaka,Diwani wa Viti maalum Mhe.Pendo Sawe,Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Hai Ndugu Dionice Myinga pamoja na wawakilishi wa chama cha mapinduzi wilayani humo.
Hizi ndizo Njia 16 za Kuondoa Sumu Mbalimbali Mwilini...!!!
-
Mwili unaweza kupatwa na sumu au takataka zisizohitajika na mwili kwa namna
mbili, ama kupitia mazingira tunayoishi (viwanda, migodi nk) au kupitia
vy...
1 week ago
0 Comments