Mbuzi nao wanafuata sheria bila shuruti kwa kutumia maeneo maalum ya kuvuka barabara! Wewe ni nani unayevuka barabara hovyo? Umeshindwa hata na mbuzi?
Eneo: Barabara ya Kawawa mbele kidogo tu ya Msimbazi centre kwenye makutano ya barabara ya kuelekea Jangwani, Dar es Salaam
Muda: Jana januari 12,2020,Picha kwa hisani ya Manyerere Jackton
Muda: Jana januari 12,2020,Picha kwa hisani ya Manyerere Jackton
from MICHUZI BLOG https://ift.tt/36PW1NA
via
0 Comments