Ticker

10/recent/ticker-posts

UBALOZ WA KENYA NCHINI WAADHIMISHA MIAKA 56 YA JAMHURI YAO

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Paramagamba Kabudi akiwa pamoja na Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Balozi Dan Kazungu wakikata keki katika hafla ya Maadhimisho ya Miaka 56 ya Jamhuri ya Kenya, iliyoadhimisha Desemba 12, 2019 kwenye hoteli ya Seacliff, jijini Dar es salaam.
 Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Balozi Dan Kazungu akizungumza wakati akitoa hotuba yake katika hafla ya Maadhimisho ya Miaka 56 ya Jamhuri ya Kenya, iliyoadhimisha Desemba 12, 2019 kwenye hoteli ya Seacliff, jijini Dar es salaam.
 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Paramagamba Kabudi akiwa pamoja na Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Balozi Dan Kazungu wakifatilia hafla hiyo.
 Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Balozi Dan Kazungu akimuonyesha Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo sehemu ya picha za wapigania Uhuru wa Kenya, katika hafla ya Maadhimisho ya Miaka 56 ya Jamhuri ya Kenya, iliyoadhimisha Desemba 12, 2019 kwenye hoteli ya Seacliff, jijini Dar es salaam.
 Sehemu ya wageni waalikwa katika hafla ya Maadhimisho ya Miaka 56 ya Jamhuri ya Kenya, iliyoadhimisha Desemba 12, 2019 kwenye hoteli ya Seacliff, jijini Dar es salaam.






from MICHUZI BLOG https://ift.tt/35wUsDW
via

Post a Comment

0 Comments