Ticker

10/recent/ticker-posts

TRA YATOA ELI MU YA MLIPA KODI TANDIKA SOKONI-TEMEKE JIJINI DAR

 Afisa huduma na elimu kwa mlipakodi kutoka TRA, Catherine Mwakilagala, akitoa maelezo kwa wafanyabiashara wa eneo la Tandika sokoni wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea katika jiji la Dar es Salaam.
 Afisa Uhusiano Mwandamizi wa TRA Rachel Mkundai akitoa elimu kwa mfanyabisaha wa Tandika aliyefika katika banda la TRA eneo la Tandika Sokoni wakati wa kampeni.
 Afisa huduma na elimu kwa mlipakodi mkoa wa kikodi Temeke kutoka TRA, Catherine Mwakilagala (kushoto) akikabidhi Namba ya Utambulisho wa Mlipakodi kwa mfanyabiashara wa Tandika Sokoni Patrick Mosses mara baada ya kujisajili kuwa mlipakodi katika kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea jijini Dar es Salaam.
Afisa huduma na elimu kwa mlipakodi wa mkoa wa kikodi wa Temeke Jackson Museti akitoa elimu ya kodi kwa mlipakodi wa Tandika sokoni katika kampeni ya elimu kwa mlipakodi.


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/350mJCj
via

Post a Comment

0 Comments