Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) imetangaza nafasi za masomo zitakazoanza intake ya Mwezi Machi 2020.
Kwa mujibu wa TaSUBa, mwisho wa kutuma maombi hayo ni 20.02.2020.
Waombaji wametakiwa kutuma maombi yao kupitia barua pepe ya taasisi hiyo : application @tasuba.ac.tz au kutembelea mtandao wa taasisi hiyo: www.tasuba.ac.tz
Kwa mujibu wa TaSUBa, mwisho wa kutuma maombi hayo ni 20.02.2020.
Waombaji wametakiwa kutuma maombi yao kupitia barua pepe ya taasisi hiyo : application @tasuba.ac.tz au kutembelea mtandao wa taasisi hiyo: www.tasuba.ac.tz
from MICHUZI BLOG https://ift.tt/35VdALJ
via
0 Comments