Ticker

10/recent/ticker-posts

NBAA YATOA TUZO ZA UMAHILI KATIKA UANDAAJI WA TAARIFA ZA FEDHA YA MWAKA 2018 KWA MAKAMPUNI, TAASISI PAMOJA NA MASHIRIKA

Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Amina Shabani akisoma hotuba yake ya kufunga mafunzo pamoja na kutoa Tuzo za umahiri katika uandaaji wa Taarifa za Fedha ya Mwaka 2018 (Best Presented Financial Statements for the Year 2018 Awards) kwa Taasisi, Makampuni pamoja na Mashirika zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) kwenye hafla iliyofanyika katika Hotel ya APC Bunju jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) CPA Prof. Isaya Jairo akizungumza akitoa historia fupi ya utoaji wa Tuzo za umahiri katika uandaaji wa Taarifa za Fedha ya Mwaka 2018 (Best Presented Financial Statements for the Year 2018 Awards) kwa Taasisi, Makampuni pamoja na Mashirika zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) kwa mgeni rasmi pamoja na wadau mbalimbali waliofika kwenye hafla hiyo iliyofanyika katika Hotel ya APC Bunju Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) CPA Pius Maneno akizungumza wakati wa kufunga mafunzo pamoja na utoaji wa Tuzo za umahiri katika uandaaji wa Taarifa za Fedha ya Mwaka 2018 (Best Presented Financial Statements for the Year 2018 Awards) kwa Taasisi, Makampuni pamoja na Mashirika zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) zilizofanyika katika hotel ya APC Bunju jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha na Mipango,  Amina Shabani (kushoto), akimkabidhi Mkuu wa taasisi ya Ustawi wa Jamii Dkt Joyce Nyoni(kulia) tuzo ya mshindi wa kwanza kwenye kipengele cha Vyuo Vikuu katika uandaaji wa Taarifa za Fedha ya Mwaka 2018 (Best Presented Financial Statements for the Year 2018 Awards) inayotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) zilizofanyika katika hotel ya APC Bunju jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha na Mipango,  Amina Shabani (kushoto), akimkabidhi  Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Prof. Lughano Kusiluka tuzo ya mshindi wa Pili kwenye kipengele cha Vyuo Vikuu katika uandaaji wa Taarifa za Fedha ya Mwaka 2018 (Best Presented Financial Statements for the Year 2018 Awards) inayotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) zilizofanyika katika hotel ya APC Bunju jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha na Mipango, Amina Shabani (kushoto), akimkabidhi tuzo Afisa Mkuu wa Fedha (CFO) wa Shirika la Umeme Nchini TANESCO, Bi.Renatha Ndege ya mshindi wa kwanza ya umahiri katika uandaaji wa Taarifa za Fedha ya Mwaka 2018 (Best Presented Financial Statements for the Year 2018 Awards) inayotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA)  zilizofanyika katika hotel ya APC Bunju jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha na Mipango, Amina Shabani (kushoto), akimkabidhi tuzo Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Dk Edwin Mhede mshindi wa pili ya umahiri katika uandaaji wa Taarifa za Fedha ya Mwaka 2018 (Best Presented Financial Statements for the Year 2018 Awards) inayotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA)  zilizofanyika katika hotel ya APC Bunju jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) CPA Prof. Isaya Jairo. 
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha na Mipango, Amina Shabani (kushoto), akimkabidhi tuzo Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali Mstaafu Emanuel Maganga ya umahiri katika uandaaji wa Taarifa za Fedha ya Mwaka 2018 (Best Presented Financial Statements for the Year 2018 Awards) inayotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA)  zilizofanyika katika hotel ya APC Bunju jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) CPA Prof. Isaya Jairo. 
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha na Mipango, Amina Shabani (kushoto), akimkabidhi tuzo kwa Viongozi mbalimbali wa Taasisi, Makampuni pamoja na Mashirika yaliyofanya vizuri katika uandaaji wa Taarifa za Fedha ya Mwaka 2018 (Best Presented Financial Statements for the Year 2018 Awards) zinayotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA)  
Baadhi ya wadau waliofika kwenye hafla ya utoaji wa Tuzo za umahiri katika uandaaji wa Taarifa za Fedha ya Mwaka 2018 (Best Presented Financial Statements for the Year 2018 Awards) kwa Taasisi, Makampuni pamoja na Mashirika zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA)  zilizofanyika katika hotel ya APC Bunju jijini Dar es Salaam.
Meza kuu ikiongozwa na mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha na Mipango, Amina Shabani wakiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya  washindi wa Tuzo za uandaaji wa Taarifa za Fedha ya Mwaka 2018 (Best Presented Financial Statements for the Year 2018 Awards) inayotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA). 


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/33Z3doB
via

Post a Comment

0 Comments