Ticker

10/recent/ticker-posts

MAKATIBU WAKUU SMT NA SMZ WAKUTANA ZANZIBAR

 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Balozi John Kijazi (katikati) akifuatilia Kikao cha pamoja cha Makatibu Wakuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT) na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kilichofanyika katika ukumbi a zamani wa Baraza la Wawakilishi Kushoto ni Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Joseph Malongo na kulia ni Katibu wa Baraza la Mapinduzi ambaye pia ni Katibu Mkuu Kiongozi wa SMZ Dkt. Abdulhamid Y. Mzee.
 Baadhi ya Makatibu wakuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT) wakifuatilia kikao cha pamoja ana Makatibu wakuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kilichofanyika katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.
 Makatibu wakuu kutoka Serikali Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) wakiwa katika kikao cha pamoja na Makatibu wakuu kutoka Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT) kilichoketi katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.
Katibu MKuu Ofisi ya Rais (TAMISEMI) Mhandisi Joseph Nyamhanga akichangia katika kikao cha pamoja ana Makatibu wakuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kilichofanyika katika ukumbi wa Amani wa Baraza la Wawawilishi Zanzibar.


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2DHOmnS
via

Post a Comment

0 Comments