Ticker

10/recent/ticker-posts

MAHAFALI YA KUMI NA TATU (13) YA TAASISI YA TEKNOLOJIA DAR ES SALAAM (DIT) YAFANA


 Wahitimu wa wakimsikiliza Mgeni Rasmi Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias John Kwandikwa wakati akiwahutubia kwenye mahafali ya 13 Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kwenye mahafali ya 13 katika viwanja  vya  Taasisi hiyo leo.
Mgeni Rasmi Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias John Kwandikwa  akiwahutubia Wahitimu  wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kwenye mahafali ya 13  katika viwanja  vya  Taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam.

Kushoto ni Mkuu wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Prof Preksedis Ndomba,  akiteta jmbo na Mgeni Rasmi Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias John Kwandikwa na mwisho ni Mwenyekiti wa Baraza la DIT, Prof Apollinalia Pereka.

 Mathias Shayo akimpa mwanae Morgan shada la ua alipokuwa akimpongeza kwa kuhitimu shahada ya uhandisi umeme katika chuo cha DIT jijini Dar es Salaam.
 Mary Sambaya ambaye ni mama mdogo wa Morgan Shayo akimpa zawadi mwanae alipokuwa akimpongeza kwa kuhitimu uhandisi umeme katika chuo cha DIT jijini Dar es Slaam.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2EdzpKr
via

Post a Comment

0 Comments