Wnafamilia, ndugu, jamaa na marafiki wakiwa katika picha ya pamoja katika ibada ya shukurani ya mama Jonel Mature Mawala iliyofanyika siku ya Jumampili Dec 8, 2019, Riverdale, Maryland
Mussa Shedasfa mmoja wa marafiki wa Dennis Makundi (mtoto wa marehemu) hayupo pichani akiongea machahe.
Leaha Nyaki akiongea kwenye ibada hiyo ya shukurani.
Bishop Maturlu (koti jeusi) akijumuika katika chakula cha pamoja na familia.
Ndugu, jamaa na marafikia wakijumuika katika chakula cha pamoja.
Ndugu, jamaa na marafiki wakijumuika katika chakula cha pamoja.
Chakula kikiendelea.
Wanafamilia wakiwa pamoja na ndugu, jamaa na marafiki wakati wa chakula cha pamoja.
from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2rwfMKS
via
0 Comments