Ticker

10/recent/ticker-posts

DC APSON AKAGUA MRADI MKUBWA WA UCHENJUAJI MADINI YA COPPER MWANGA

 Mkuu wa Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro, Tom Apson (wa pili kushoto), akipata maelezo alipotembelea kwa lengo la kukagua Mradi mkubwa wa kuchenjua madini ya Copper uliopo wilayani humo siku ya mkesha wa Krismasi. Licha ya kwamba siku hiyo ilikuwa ni sikukuu ya  lakini  DC Apson na timu yake aliamua kuchapa kazi kutimiza kauli mbiu ya Wilaya ya KAZI ZAIDI.
 DC Apson akiwa na maofisa wake pamoja na maofisa wa mradi huo.
DC Apson akielekea kukagua mradi huo

Akibadilishana mawazo na baadhi ya maofisa


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2rML0gY
via

Post a Comment

0 Comments