Ticker

10/recent/ticker-posts

SPIKA NDUGAI ASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO KATI YA BUNGE LA TANZANIA NA UNICEF, AFUNGUA MAFUNZO YA UWAJIBIKAJI NA UWAZI




Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai, Mwakilishi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia watoto (UNICEF), Ndg. Rene van Dongen wakisaini Mkataba wa Makubaliano ya kufanya kazi kwa pamoja kati ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na UNICEF tukio lililofanyika leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Katika Makubaliano hayo UNICEF itawezesha Bunge katika kufanya kazi zake kwa urahisi ikiwemo kuwapatia semina na mafunzo ili wawe na uelewa wa kuwatetea haki za watoto Bungeni, ikiwa ni pamoja na kuwasemea kuhusu haki zao za kimsingi;- Haki ya Kuishi, Mavazi, Kusoma na Kusikilizwa, Pia kutetea kupitishwa kwa Bajeti nzuri ya watoto itakayowezesha kufikia malengo


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai, Mwakilishi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia watoto (UNICEF), Ndg. Rene van Dongen wakionyesha Mikataba wa Makubaliano ya kufanya kazi kwa pamoja kati ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na UNICEF tukio lililofanyika leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Katika Makubaliano hayo UNICEF itawezesha Bunge katika kufanya kazi zake kwa urahisi ikiwemo kuwapatia semina na mafunzo ili wawe na uelewa wa kuwatetea haki za watoto Bungeni, ikiwa ni pamoja na kuwasemea kuhusu haki zao za kimsingi;- Haki ya Kuishi, Mavazi, Kusoma na Kusikilizwa, Pia kutetea kupitishwa kwa Bajeti nzuri ya watoto itakayowezesha kufikia malengo


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai, Mwakilishi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia watoto (UNICEF), Ndg. Rene van Dongen wakibadilishana Mikataba wa Makubaliano ya kufanya kazi kwa pamoja kati ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na UNICEF tukio lililofanyika leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Katika Makubaliano hayo UNICEF itawezesha Bunge katika kufanya kazi zake kwa urahisi ikiwemo kuwapatia semina na mafunzo ili wawe na uelewa wa kuwatetea haki za watoto Bungeni, ikiwa ni pamoja na kuwasemea kuhusu haki zao za kimsingi;- Haki ya Kuishi, Mavazi, Kusoma na Kusikilizwa, Pia kutetea kupitishwa kwa Bajeti nzuri ya watoto itakayowezesha kufikia malengo


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akifungua mafunzo ya Uwajibikaji na uwazi katika Mikataba ya Manunuzi ya Umma kwa Kamati za Usimamizi za Bunge za Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) na Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) leo katika Ukumbi wa Royal Village Jijini Dodoma.


Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge za Usimamizi za Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) na Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) wakimsikiliza Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (hayupo kwenye picha) akifungua mafunzo ya Uwajibikaji na uwazi katika Mikataba ya Manunuzi ya Umma kwa Kamati za Bunge leo katika Ukumbi wa Royal Village Jijini Dodoma.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)



from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2p2VM15
via

Post a Comment

0 Comments