Uchaguzi wa serikalizamitaa unaelekea ukingoni, Wananchi mtakutana na viashiria mbalimbali vya rushwa, mkatae kiongozi anaechaguliwa kwa rushwa, chagua kiongozi asiyependa rushwa, Kanyaga rushwa chagua maendeleo, hata kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa kataa rushwa tenda haki.
from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2DeKeLX
via
0 Comments