Ticker

10/recent/ticker-posts

RAIS MAGUFULI ASHIRIKI MISA YA JUMAPILI PAROKIA YA MT.MARIA IMACULATA CHAMWINO JIJINI DODOMA

 

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli wakitoa sadaka takati wa misa ya Jumapili katika Parokia ya Mt. Maria Imaculata Chamwino Ikulu kijijini Chamwino jijini Dodoma leo Novemba 24, 2019 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea baada ya  misa ya Jumapili katika Parokia ya Mt. Maria Imaculata Chamwino Ikulu kijijini Chamwino jijini Dodoma leo Novemba 24, 2019.Picha na IKULU. 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli wakishiriki kaaika misa ya Jumapili katika Parokia ya Mt. Maria Imaculata Chamwino Ikulu kijijini Chamwino jijini Dodoma leo Novemba 24, 2019. Hui ni mara ya Kwanza kwa
Rais na Familia yake kushioriki katika misa katika parokia hii toka ahamkie rasmi Dodoma


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2KO98pK
via

Post a Comment

0 Comments