Ticker

10/recent/ticker-posts

RAIS DKT MAGUFULI AKABIDHI JENGO LA WIZARA YA MAJI NA UMWAGILIAJI KWA JESHI LA POLISI, KUWA MAKAO MAKUU YAKE

Jengo ambalo Rais Dkt John Pombe Magufuli amelikabidhi Jeshi la
Polisi kufanya Makao Mkuu yake jijini Dodoma Leo Ijumaa November 22,2019. Awali jengo ambalo Ujenzi wake umekamilika kwa asilimia 95,hilo lilikuwa linamilikiwa na Wizara ya Maji na Umwagiliaji.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akilakiwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Kangi Lugola alipowasili Tayari kukabidhi kwa Jeshi la Polisi jengo kwa jail ya Makao make yake jijini Dodoma Leo Ijumaa November 22, 2019. Awali jengo ambalo Ujenzi wake umekamilika kwa asilimia 95, hilo lilikuwa linamilikiwa na Wizara ya Maji na Umwagiliaji.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhi fungi za jengo kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Kangi Lugola na Inspekta Jenerali wa Polisi Simon Sirro wakati akikabidhi jengo hilo kuwa Makao makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dodoma Leo Ijumaa November 22, 2019. Awali jengo ambalo Ujenzi wake umekamilika kwa asilimia 95, hilo lilikuwa linamilikiwa na Wizara ya Maji na Umwagiliaji.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikilkiza Inspekta Jenerali wa Polisi Simon Sirro alipokuwa akishukuru kwa kukabidhiwa jengo hilo litakalokuwa Makao makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dodoma Leo Ijumaa November 22, 2019. Awali jengo ambalo Ujenzi wake umekamilika kwa asilimia 95, hilo lilikuwa linamilikiwa na Wizara ya Maji na Umwagiliaji.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Kangi Lugola akishukuru kwa kuwakabidhi jengo la Makao makao Makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dodoma Leo Ijumaa November 22, 2019. Awali jengo ambalo Ujenzi wake umekamilika kwa asilimia 95, hilo lilikuwa linamilikiwa na Wizara ya Maji na Umwagiliaji.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea machache baada ya kukabidhi jengo kwa adili ya Makao makao Makuu ya Jeshi la polisi jijini Dodoma Leo Ijumaa November 22, 2019. Awali jengo ambalo Ujenzi wake umekamilika kwa asilimia 95, hilo lilikuwa linamilikiwa na Wizara ya Maji na Umwagiliaji.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitoa maagizo kwa wakandarasi wa jengo ambalo amelikabidhi kuwa Makao makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dodoma Leo Ijumaa November 22,2019. Awali jengo ambalo Ujenzi wake umekamilika kwa asilimia 95, hilo lilikuwa linamilikiwa na Wizara ya Maji na Umwagiliaji.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Kangi Lugola na Inspekta Jenerali wa Polisi Simon Sirro pamoja na viongozi waandamizi wa Kesho la polisi baada ya kukabidhi jengo hilo ambalo litakuwa Makao makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dodoma Leo Ijumaa November 22,2019. Awali jengo hilo lilikuwa linamilikiwa na Wizara ya Maji
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono na Kamanda wa Polisi wa Dodoma Giles Muroto baada ya kukabidhi jengo la Makao makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dodoma Leo Ijumaa November 22, 2019. Awali jengo hilo lilikuwa linamilikiwa na Wizara ya Maji
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhi picha za jengo ambalo amelitoa kuwa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dodoma kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Kangi Lugola na Inspekta Jenerali wa Polisi Simon Sirro wakati wa sherehe fui ya uwekaji jiwe la Msingi mradi wa Ujenzi wa Nyumba za Polisi eneo la Nzuguni leo Ijumaa Novemba 22, 2019

PICHA NA IKULU


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2Dbx0iJ
via

Post a Comment

0 Comments