Meneja Miradi ya Jamii (usafi wa mazingira) Bw Charles Makoye akitoa maelezo kwa Maafisa Afya wa Manispaa za Jiji la Dar es Salaam walipotembelea Mradi ya Jamii ya Majitaka katika eneo la Vingunguti na Toangoma wilayani Temeke.Miradi hii imesaidia kupunguza magonjwa ya mlipuko na kujenga ustawi wa maisha ya wakazi wa maeneo tajwa.
from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2OvYAxI
via
0 Comments