Ticker

10/recent/ticker-posts

MRADI WA MAJITAKA UNAVYOSAIDIA KUPUNGUZA MAGONJWA YA MLIPUKO

Meneja Miradi ya Jamii (usafi wa mazingira) Bw Charles Makoye  akitoa maelezo kwa Maafisa Afya wa Manispaa za Jiji la Dar es Salaam walipotembelea  Mradi ya Jamii ya  Majitaka katika eneo la Vingunguti na Toangoma wilayani Temeke.Miradi hii imesaidia kupunguza magonjwa ya mlipuko na kujenga ustawi wa maisha ya wakazi wa maeneo tajwa.
Eneo la majitaka 


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2OvYAxI
via

Post a Comment

0 Comments