Ticker

10/recent/ticker-posts

KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFANYA UKAGUZI WA UJENZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI JIJINI DODOMA

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Jacob Kingu (Wa pili kushoto), akikagua ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji wakati wa ziara ya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa Makao Makuu ya Jeshi hilo, jijini Dodoma leo.
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Jacob Kingu, akipokea maelezo kutoka kwa Kamishna wa Utawala na Fedha wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Mbaraka Semwanza jinsi ujenzi unavyoendelea wakati ziara ya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa Makao Makuu ya Jeshi hilo, jijini Dodoma leo.
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Jacob Kingu, akitoa maelekezo kwa Viongozi Waandamizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji baada ya kufanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa Makao Makuu ya Jeshi hilo, jijini Dodoma leo. (Picha zote na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji)


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2OhFfyV
via

Post a Comment

0 Comments