Ticker

10/recent/ticker-posts

KAMISHNA WA OPERESHENI NA MAFUNZO YA JESHI LA POLISI, CP LIBERATUS SABAS AFANYA MKUTANO WA KUWASHUKURU WANANCHI

Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi, CP Liberatus Sabas,
akifurahia jambo na wanafunzi wa shule za msingi waliokuja kumsalimia baada ya kumalizika kwa mkutano wake na wananchi zaidi amewapongeza kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama katika kupunguza uhalifu kwenye makazi yao. (Picha na Jeshi la Polisi).

Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi, CP Liberatus Sabas,
akisalimiana na wakazi wa Pasua Boma Mbuzi wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro baada ya kumalizika kwa kikao chake na wananchi hao aliowapongeza kwa kushirikiana na Vyombo vya Ulinzi na Usalama katika kupunguza uhalifu katika makazi yao. (Picha na Jeshi la Polisi).
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi, CP Liberatus Sabas
akizungumza na wakazi wa Pasua Boma Mbuzi wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro katika mkutano wake na wananchi juu ya kutatua matatizo madogo madogo huku akiwapongeza kwa kuhakikisha wamepunguza uhalifu kwenye makazi yao. (Picha na Jeshi la Polisi).


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2KmPbpZ
via

Post a Comment

0 Comments