Ticker

10/recent/ticker-posts

BIASHARA YA MATUNDA SOKO LA BURUGURINI,ILALA JIJINI DAR

Na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv

Wafanyabiashara wa matunda katika Soko la Buguruni wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam wamesema kwa sasa matunda yanayopatikana kwa wingi ni Maembe na  Mananasi,

Wakizungumza na Michuzi Tv jijini Dar es Salaam wafanyabiashara hao wameeleeza kuwa hali iko shwari  kibiashara na matunda yanauzika,wateja wao wamekuwa wakipita sokoni hapo kujipatia matuda mbalimbali kuligana na mahitaji yao.
Bei ya tikitiki maji ni kati ya Sh 500 hadi Sh. 3000.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)

Bei ya machungwa katika soko la Buguruni wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam yanauzwa kati ya sh. 50 hadi 100 kwa bei ya jumla.
Embe katika soko la Buguruni yanauzwa  kati ya Sh.300 hadi Sh 600/= lakini bei hiyo hiyo yanauzwa kwa rejareja.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv) 
Bei za matunda aina Parachichi ni shi 200,500 bei hiyo kwa wanaonunua kwa rejareja na jumla (Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv) 


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2CZjAqb
via

Post a Comment

0 Comments