Ticker

10/recent/ticker-posts

ZIARA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI MKOANI RUKWA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli anafanya ziara ya siku tatu Mkoani Rukwa ambapo anafungua na kukagua miradi ya Maendeleo pamoja na kuzungumza na Wananchi wa Maeneo mbalimbali ya Rukwa na Wilaya zake


from CCM Blog https://ift.tt/31QqyIB
via

Post a Comment

0 Comments