Ticker

10/recent/ticker-posts

USAJILI WA LAINI YA SIMU KWA ALAMA ZA VIDOLE

Ndugu Mwananchi mwenzangu ambaye tayari una kitambulisho cha Mamlaka ya Kiambulisho cha Taifa (NIDA) au Namba ya Kitambulisho. Wahi ukajiandikishe kwenye maduka au mawakala wa makampuni ya huduma za simu haraka na mapema. Usisubiri dakika za mwisho kuepuka msongamano na usumbufu. Nenda sasa. Sajili laini yako ya simu kwa alama za vidole sasa. Usalama wako ndiyo kipaumbele chetu.

Kama hujapata Namba ya NIDA hakikisha unawasiliana na NIDA. Usajili laini ya simu kwa alama za vidole unafanyika bure yaani bila malipo na upatikanaji wa Namba ya NIDA ni bure. 

Imetolewa na:
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA),
12/10/2019.


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2VBe3hS
via

Post a Comment

0 Comments