Ticker

10/recent/ticker-posts

TANZANIA YATAKA ZIMBABWE KUONDOLEWA VIKWAZO VYA KIUCHUMI


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Masahariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akihutubia katika kongamano maalumu la kujadili vikwazo vya kiuchumi na hatma ya Afrika: Uzoefu kutoka Zimbabwe.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Masahariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akizungumza katika kongamano la kujadili vikwazo vya kiuchumi iliyowekewa Zimbabwe

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Phillip Mpango (Mb) akitoa hotuba ya majumuisho na kufunga kongamano maalumu la kujadili vikwazo vya kiuchumi iliyowekewa Zimbabwe

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Dkt. John Jingu, akihutubia hadhara wakati alipowasilisha mada iliyolenga hali ya utawala na diplomasia ya uchumi Afrika katika kongamano maalumu la kujadili vikwazo vya kiuchumi iliyowekewa Zimbabwe.

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. William Anangisye akimkaribisha mgeni rasmi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Masahariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) katika kongamano maalumu lililojadili vikwazo vya kiuchumi na hatma ya Afrika: Uzoefu kutoka zimbabwe.

Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Mstaafu Joseph Warioba (wa pili kutoka kulia) pamoja na viongozi waandamizi wa Serikali, vyama vya siasa wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Masahariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) katika kongamano maalumu

Baadhi ya mabalozi wateule pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Masahariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) katika kongamano la kujadili vikwazo vya kiuchumi iliyowekewa Zimbabwe.

Vingozi, Mabalozi na wananchi wakifuatilia mdahalo wa kujadili jinsi ya kuiwezesha Zimbabwe kuondolewa vikwazo vya kiuchumi.




from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2BL9CYO
via

Post a Comment

0 Comments