Ticker

10/recent/ticker-posts

SUKAMAHELA: KIJIJI AMBACHO KIPO KATIKATI YA NCHI YA TANZANIA



Hapa ndio  Sukamahela kijiji kilichopo Kata ya Solya katika Wilaya ya  Manyoni mkoani Singida.  Na hapa ndipo inaposemekana ni katikati kabisa ya nchi ya Tanzania Bara. Kuna alama iliyo  kuleeee juu ya miamba katika picha hapo chini ambako ukaingalia kwa makini juu ya mwamba uliochomoza kulia pana alama kama ya nyani aliyesimama inayoashiria jambo. Basi hapo ndipo katikati ya Tanzania.


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2qK0ktL
via

Post a Comment

0 Comments