Ticker

10/recent/ticker-posts

RC SHIGELLA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA WAMILIKI WAPYA WA KIWANDA CHA KUZALISHA SARUJI CHA RHINO JIJINI TANGA

MKUU wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella akizungumza na wamiliki wapya wa kiwanda cha Kuzalisha Saruji cha Rhino kilichopo Jijini Tanga ambao walifika ofisini kwake kujitambulisha wa kwanza kulia ni Mkurugenzi wa Jiji la Tanga Daudi Mayeji 
MKUU wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella kushoto akizungumza na wamiliki wapya wa kiwanda cha Kuzalisha Saruji cha Rhino kilichopo Jijini Tanga ambao walifika ofisini kwake kujitambulisha kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa 
VIONGOZI mbalimbali wakifuatilia mazungumzo hayo kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa na aliyevaa miwani kulia ni Mkurugenzi wa Jiji la Tanga Daudi Mayeji na Katibu Tawala wa wilaya ya Tanga (DAS) faidha Salim


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2P0outZ
via

Post a Comment

0 Comments