Ticker

10/recent/ticker-posts

NAIBU SPIKA AKIONGOZA KIKAO CHA BODI YA MRADI WA KULIJENGEA BUNGE UWEZO JIJINI DAR ES SALAAM


 
 Naibu Spika wa Bunge na Mwenyekiti mwenza wa Bodi ya Mradi kulijengea Bunge Uwezo (Legislative Support Project-LSP II) Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiongoza kikao cha Bodi hiyo Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam. Kulia kwa Naibu Spika ni Mwenyekiti mwenza wa Bodi hiyo na Mwakilishi Mkaazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Bi. Christine Musisi. Wengine katika kikao hicho ni Wajumbe wa Bodi hiyo kutoka pande zote mbili.

PICHA NA BUNGE


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2AXrFdL
via

Post a Comment

0 Comments