Ticker

10/recent/ticker-posts

MWENYEKITI WA CWP DUNIANI MHE. SHANDANA KHAN AWASILI KUSHIRIKI SEMINA YA CWP KANDA YA AFRIKA JIJINI ARUSHA

 Mwenyekiti  wa Chama cha Wabunge Wanawake wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Duniani (CWP International), Mhe. Shandana Gulzar Khan akipokelewa na Katibu Msaidizi wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Ndg. Saidi Yakubu, baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro kwa ajili ya kushiriki warsha ya Chama cha Wabunge Wanawake wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CWP Africa Region) iliyoanza leo tarehe 26 - 29 Oktoba, 2019 Katika Hoteli ya Gran Melia Jijini Arusha.
 Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge Wanawake wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Duniani, Mhe. Shandana Gulzar Khan (wa pili kushoto) akiongozana  na Katibu Msaidizi wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Ndg. Saidi Yakubu (kushoto) baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro kwa ajili ya kushiriki warsha ya Chama cha Wabunge Wanawake wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika iliyoanza leo tarehe 26 - 29 Oktoba, 2019 Katika Hoteli ya Gran Melia Jijini Arusha. Wa pili kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Kimataifa Ofisi ya Bunge, Ndg. Herman Berege
 Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge Wanawake wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Duniani, Mhe. Shandana Gulzar Khan (katikati) katika picha ya pamoja na Katibu Msaidizi wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Ndg. Saidi Yakubu (wa pili kushoto) baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro kwa ajili ya kushiriki warsha ya Chama cha Wabunge Wanawake wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika iliyoanza leo tarehe 26 - 29 Oktoba, 2019 Katika Hoteli ya Gran Melia Jijini Arusha. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Kimataifa Ofisi ya Bunge, Ndg. Herman Berege

Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge Wanawake wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Duniani, Mhe. Shandana Gulzar Khan (kulia) akizungumza na Katibu Msaidizi wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Ndg. Saidi Yakubu, Katika Ofisi za uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro baada ya kuwasili  kwa ajili ya kushiriki warsha ya Chama cha Wabunge Wanawake wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika iliyoanza leo tarehe 26 - 29 Oktoba, 2019 Katika Hoteli ya Gran Melia Jijini Arusha. (PICHA NA OFISI YA BUNGE)


from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2PvtW8P
via

Post a Comment

0 Comments