Rais John Magufuli akisalimiana na Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe, David Kafulila alipoasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe, tayari kuanza ziara ya siku tatu katika Mkoa wa Songwe. Rais Magufuli na Rais wa Zambia, Lungu walifungua Kituo cha Huduma kwa Pamoja cha Tunduma/Nakonde.
0 Comments