Ticker

10/recent/ticker-posts

RAIS MSTAAFU BENJAMINI MKAPA KUELEZA UZOEFU WAKE SADC KESHO

Mwenyekiti  mstaafu wa SADC na Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Tanzania, Benjamin Mkapa, atatoa mhadhara kwa umma kesho kuhusu uzoefu wake katika jumuiya hiyo.

Mhadhara huo utakaowashirikisha wasomi, wachambuzi wa masuala ya kikanda, wanasiasa, wachumi, wafanyabiashara na wananchi wa kawaida, utafanyika katika jengo jipya la maktaba la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).
Advertisement


from CCM Blog https://ift.tt/2H7Pq6B
via

Post a Comment

0 Comments