Ticker

10/recent/ticker-posts

IGP SIRRO AZUNGUMZA NA WANANCHI WA MBURAHATI


Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akizungumza na wakazi wa Kata ya Mburahati, Kigogo jijini Dar es salaam leo, wakati alipofanya ziara ya kushtukiza kwenye Kata hiyo kwa lengo la kujua changamoto wanazokutananazo pamoja na namna wanavyoshirikiana na Jeshi hilo katika kuzuia uhalifu na wahalifu katika maeneo yao wanayoishi.
Picha na Jeshi la Polisi.



from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2ZX4IlU
via

Post a Comment

0 Comments