Ticker

10/recent/ticker-posts

AFYA:Nina mimba ya miezi 8, salama kufanya Mapenzi na mume wangu?..Majibu Haya hapa


Image result for msichana  mjamzito
"Mie ni msichana wa umri wa miaka 23,nimepata ujauzito wa rafiki yangu wa kiume wa miaka takribani 5, tulianza kufanya mapenzi mwaka jana tu yani baada ya miaka minne ya uhusiano wetu sasa maswali niliyonayo ni haya:kwanza sijafanikiwa kuskia utamu wa ku-come nikitombwa mie huskia kama nililambwa kisimi
tu ntaanzaje kuskia hivo?

Nimefanya mapenzi mara tatu tu! ya tatu ndo nimepata ujauzito na sijafanya tena kwakuwa boyfriend alikuwa kikazi marekani ila anarudi jumatatu hii na tutafanya mapenzi.

Nina mimba ya miezi 8, je is it safe kufanya mapenzi? na style gani zitamchengua?nikivaa shanga je ntachemsha na mtumbo wangu?Nipo freshi kiafya sina matatizo ya ujauzito...nashukuru ...".

Jibu: Awww umeshika mimba kabla hujautambua na kuujua mwili wako vizuri, kwanini hukutumia Condom? Usijali wala kujisikia vibaya kwani hatuwezi kubadili kilichotokea lakini naamini kabisa mara tu baada ya kujifungua na Mpenzi wako akiwa karibu utafanikiwa kuujua utamu wa kufanya mapenzi/ngono.

Kwa kuanzia mpenzi wako akija mwambie akupe ngono ya mdomo (akushukie chini) na kucheza na kisimi hakika utapata utamu wa ngono ukoje.......

Ikiwa Dakitari au Mkunga wako hajasema kama una matatizo yeyote basi utakuwa salama kabisa kufanya mapenzi japokuwa unapaswa kuwa mwangalifu usije ukakorofisha au kushitua mambo mengine kabla ya wakati. Miezi nane ni mingi au niseme tumbo ni kubwa sana na hata wewe mwenyewe utakuwa umejichokea kiaina hivyo mikao utakayohitaji kufanya mapenzi ni ile ya ku-relax zaidi kama "spoony".

Ambapo baada ya kuandaliwa unalalia ubavu (natumaini ndivyo unavyolala kutokana na ukubwa wa tumbo) kisha yeye mpenzi wako analala kwa nyuma,kisha wewe unapanua mguu ili aweze kuingiza uume kisha rudisha mguu juu ya mguu mwingine (kama ulivyokuwa) na yeye anaendelea kukufanya taratibu mpaka wote mtakaporidhika au maliza haja zenu.

Vilevile mnaweza mkafanya kifo cha mende wewe ukiwa juu (kama umekaa vile) na hakikisha anakupeleka taratibu ikiwa huwezi ku-ride au kifo cha mende wewe juu lakini mpe mgongo (inaitwa doggie lakini sio hatari kama ile ya kuinama/bong'oa) nautazame miguu yake.

Kamwe usifanye mikao au mitindo mingine kama "doggie" zaidi ya hii mitatu.