"FAHAMU TALK"
Je unajua mahusiano yanaweza kuathiri uchumi na uchumi kuathiri mahusiano???🔥
Uskose FAHAMU TALK ya Anthony Luvanda na Dr. Chris Mauki. Nkurumah hall Chuo kikuu cha Dsm kuanzia saa 6 mchana. Kiwezesho ni sh 20,000 tu. Kwenye maakuli anasimama Masanja Mkandamizaji na wali nyama yake.
Burudani kibao (Suprise)
Pata tiketi yako MAK Bookshop Mlimani city🔥🔥 House of Wisdom Bookshoop NHC house Posta, Elite Bookstore (Mbezi Beach Samaki na Quality Plaza). Mr. Price na ofisi za Mc Luvanda Dar Free Market.🔥🔥 Kama umekosa zingine basi hii sio ya kukosa kabisaaa. 🔥
FAHAMU TALK, Jitambue, Ongeza Upeo Wako
Hizi ndizo Njia 16 za Kuondoa Sumu Mbalimbali Mwilini...!!!
-
Mwili unaweza kupatwa na sumu au takataka zisizohitajika na mwili kwa namna
mbili, ama kupitia mazingira tunayoishi (viwanda, migodi nk) au kupitia
vy...
1 month ago